Msanii Mkongwe wa Filamu Tanzania Hashim Kambi Afariki Dunia Jijini Dar es Salaam

Msanii mkongwe wa filamu Tanzania Hashim Kambi amefariki dunia Dar es Salaam baada ya kuzidiwa ghafla akiwa kazini, huku akidaiwa kusumbuliwa na presha na kisukari.
Taarifa kutoka barani Afrika, zikihusu siasa, usalama, uchumi, na masuala ya kijamii katika nchi mbalimbali za bara hili.

Msanii mkongwe wa filamu Tanzania Hashim Kambi amefariki dunia Dar es Salaam baada ya kuzidiwa ghafla akiwa kazini, huku akidaiwa kusumbuliwa na presha na kisukari.

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Wakili Albert Msando, amesema wamefanikisha kujenga mabanda mapya ya wafanyabiashara zaidi ya 200 katika Soko la Mawasiliano (Simu 2000) ikiwa zimepita wiki tatu tu tangu soko hilo liungue moto. Akizungumza Jijini Dar es Salaam, Msando…

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi mpya za kuandikishwa kwa vijana wa Kitanzania, likieleza sifa, utaratibu wa maombi na muda wa kuwasilisha. Tangazo hilo limetolewa na Kevin Baraka Byabato, Luteni Kanali na Mkuu wa Kitengo cha…

Mfanyabiashara mmoja kutoka Scotland (Uskochi) amepatikana akiwa ameuawa nchini Kenya, mwili wake ukiwa umefungwa na kuwekwa ndani ya gunia, huku polisi wakiwakamata watuhumiwa wanne katika tukio linalodaiwa kuwa ujambazi uliogeuka mauaji. Marehemu aliyetambuliwa kama Campbell Scott alikuwa amesafiri kwenda Nairobi…

Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola, ameibua mjadala mkali bungeni baada ya kumtaka waziri mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba kuchukua hatua madhubuti dhidi ya vitendo vya rushwa vinavyoendelea nchini. Akichangia bungeni katika Dodoma Aprili 8, 2026, Lugola alisema licha ya kauli…

Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Said Bungara maarufu “Bwege,” amefariki Jumatatu mchana jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu ya figo katika hospitali binafsi.

Meli kadhaa za kubeba magari zimeanza kubadili safari na kuelekea Bandari ya Lamu nchini Kenya, kufuatia kuongezeka kwa hatari za usalama katika Mlango wa Bahari wa Hormuz. Hatua hiyo imeathiri moja kwa moja usafirishaji wa kimataifa, huku angalau meli tatu…

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 50, anayefahamika kwa jina la Maselina Mtewele, anashikiliwa na polisi mkoani Njombe kwa tuhuma za kumuua mumewe, Gwido Kigaya (59), kwa kumkata kwa panga kichwani. Tukio hilo lilitokea Machi 18, 2026 majira ya saa…

Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu kunyongwa dereva bajaji mwenye umri wa miaka 28 baada ya kutiwa hatiani kwa kumuua mtoto wake mdogo katika tukio lililotajwa kuhusishwa na tamaa ya fedha.

Leo Machi 17 2026 imetimia miaka mitano tangu kutokea kifo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano, Dr John Pombe Magufuli. Daraja la Kigongo-Busisi, ni moja ya alama kubwa alizoziacha mioyoni mwa Watanzania ambapo akiwa hai aliwahi…