Michezo

Habari za michezo kutoka ndani na nje ya nchi, zikiwemo matokeo, uchambuzi, na taarifa za wachezaji na mashindano mbalimbali.

Klabu ya Yanga safarini kuikabili Mwadui FC

Klabu ya Yanga safarini kuikabili Mwadui FC | Swahili Today

Kikosi cha Yanga Sc kilicho chini ya Kocha Msaidizi wa timu hiyo Charles Mkwassa kimeanza safari leo kwa basi kuelekea Shinyanga kuifuata Mwadui FC.Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utapigwa Juni 13, Uwanja wa Kambarage.Yanga Sc ipo nafasi ya tatu katika msimo…

ADVERTISEMENT ADVERTISEMENT