
Mbunge Kangi Aibana Serikali kwa Mada ya Rushwa, Amtaka Waziri Mkuu Kuchukua Hatua
Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola, ameibua mjadala mkali bungeni baada ya kumtaka waziri mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba kuchukua hatua madhubuti dhidi ya vitendo vya rushwa vinavyoendelea nchini. Akichangia bungeni katika Dodoma Aprili 8, 2026, Lugola alisema licha ya kauli…





