Physical Address
Delta Corner Tower,
Waiyaki Way, Westlands, Nairobi, Kenya.
Contact us:
Email: info@todaysw.com
Physical Address
Delta Corner Tower,
Waiyaki Way, Westlands, Nairobi, Kenya.
Contact us:
Email: info@todaysw.com
Taarifa kutoka barani Afrika, zikihusu siasa, usalama, uchumi, na masuala ya kijamii katika nchi mbalimbali za bara hili.

Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu kunyongwa dereva bajaji mwenye umri wa miaka 28 baada ya kutiwa hatiani kwa kumuua mtoto wake mdogo katika tukio lililotajwa kuhusishwa na tamaa ya fedha.

Leo Machi 17 2026 imetimia miaka mitano tangu kutokea kifo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano, Dr John Pombe Magufuli. Daraja la Kigongo-Busisi, ni moja ya…

Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imeamuru kufungwa rasmi kwa kampuni ya Sahara Media Group Limited wamiliki wa Star Tv, Kiss FM pamoja na Radio Free Africa baada ya kubainika kuwa…

Mamlaka za Kenya zimemkamata raia wa China katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta baada ya kudaiwa kujaribu kusafirisha maelfu ya mchwa nje aina ya Queen Garden kinyume…

DAR ES SALAAM/NAIROBI – Mfanyabiashara na mwanasiasa wa zamani wa Tanzania Rostam Azizi amekuwa mbia mkuu wa Nation Media Group baada ya kununua asilimia 54.08 ya hisa zilizokuwa zinamilikiwa na…

RUKWA, Tanzania – Wakazi wa Mkoa wa Rukwa wanatarajiwa kuanza kupata umeme kutoka Gridi ya Taifa ifikapo Mei 2026 baada ya kukamilika kwa mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa…

Aliyekuwa Rais wa Ghana John Dramani Mahama amewasili Tanzania kama mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 20 ya Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yanayofanyika Arusha. John…

Jeshi la majini la El Salvador limekamata meli iliyokuwa ikipeperusha bendera ya Tanzania, yenye usajili wa Zanzibar, baada ya kubainika kubeba tani 6.6 za dawa za kulevya aina ya cocaine…

Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa mjini Nairobi na mamlaka hiyo, maafisa sita wa polisi watashtakiwa kwa makosa ya mauaji na unyanyasaji, baadhi wakituhumiwa kuhusika kwa vitendo vya kufyatua risasi kiholela…

Marekani imetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuanzisha uchunguzi na hatimaye kukamatwa kwa wale wote waliohusika na shambulio la kiongozi wa upinzani nchini humo Freeman Mbowe. Mbowe alivamiwa na kushambuliwa…