Mahakama Tanzania Yaamuru Kufungwa kwa Kampuni ya Sahara Media Group

Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imeamuru kufungwa rasmi kwa kampuni ya Sahara Media Group Limited wamiliki wa Star Tv, Kiss FM pamoja na Radio Free Africa baada ya kubainika kuwa haina uwezo wa kuendelea na shughuli zake kutokana na matatizo…











