Mahakama ya Iringa yahukumu dereva bajaji kunyongwa kwa kumuua mwanawe wa miaka minne kisa utajiri

Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu kunyongwa dereva bajaji mwenye umri wa miaka 28 baada ya kutiwa hatiani kwa kumuua mtoto wake mdogo katika tukio lililotajwa kuhusishwa na tamaa ya fedha.









