
Raia wa China Akamatwa Kenya Akidaiwa Kujaribu Kusafirisha Zaidi ya Mchwa 2,000 Nje ya Nchi
Mamlaka za Kenya zimemkamata raia wa China katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta baada ya kudaiwa kujaribu kusafirisha maelfu ya mchwa nje aina ya Queen Garden kinyume cha sheria za nchi. Mshukiwa huyo aliyetambulika kwa jina la…










