
Miaka mitano tangu kuondoka kwa aliekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano, Dr John Pombe Magufuli
Leo Machi 17 2026 imetimia miaka mitano tangu kutokea kifo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano, Dr John Pombe Magufuli. Daraja la Kigongo-Busisi, ni moja ya alama kubwa alizoziacha mioyoni mwa Watanzania ambapo akiwa hai aliwahi…




