
Klabu ya Yanga safarini kuikabili Mwadui FC
Kikosi cha Yanga Sc kilicho chini ya Kocha Msaidizi wa timu hiyo Charles Mkwassa kimeanza safari leo kwa basi kuelekea Shinyanga kuifuata Mwadui FC.Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utapigwa Juni 13, Uwanja wa Kambarage.Yanga Sc ipo nafasi ya tatu katika msimo…






