Skip to content
No results
  • Home – Kiswahili
Swahili Today
SWAHILI TODAY
  • Africa
  • World
  • Russo-Ukranian War
  • Israel-Gaza War
  • Tech
  • Entertainment
  • Sports
  • Finance
  • Opinion
SWAHILI TODAY
TRENDING
  • habari

Meli Yenye Usajili wa Zanzibar Yakamatiwa El Salvador Ikiwa na Tani 6.6 za Cocaine

Ship Registered Under Tanzanian Flag Seized in El Salvador With 6.6 Tonnes of Cocaine | REUTERS

Jeshi la majini la El Salvador limekamata meli iliyokuwa ikipeperusha bendera ya Tanzania, yenye usajili wa Zanzibar, baada ya kubainika kubeba tani 6.6 za dawa za kulevya aina ya cocaine katika operesheni ya baharini. Meli hiyo yenye urefu wa takribani…

  • Josephs Quartzy
  • Febuari 26, 2026
  • Michezo na burudani

Alphonce Simbu Afanya Historia: Medali ya Dhahabu ya Kwanza kwa Tanzania katika Marathon ya Dunia

Tanzania's Alphonce Felix Simbu poses after winning the gold medal in the men's marathon.

Alphonce Felix Simbu, mwenye umri wa 33, ameandika historia kwa Tanzania baada ya kushinda medali ya dhahabu ya kwanza kabisa katika mashindano ya mbio za marathon — World Athletics Championships — yaliyofanyika Tokyo, Japan tarehe 15 Septemba 2025. Mara ya…

  • Mwandishi Wetu
  • Septemba 15, 2025
  • Yaliyojiri

Polisi nchini Kenya Hatiani kwa Mauwaji ya raia 15

Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa mjini Nairobi na mamlaka hiyo, maafisa sita wa polisi watashtakiwa kwa makosa ya mauaji na unyanyasaji, baadhi wakituhumiwa kuhusika kwa vitendo vya kufyatua risasi kiholela dhidi ya raia wakati wakitekeleza masharti ya marufuku hiyo.Polisi pia…

  • Mwandishi Wetu
  • Juni 11, 2020
  • Michezo na burudani

Klabu ya Yanga safarini kuikabili Mwadui FC

Kikosi cha Yanga Sc kilicho chini ya Kocha Msaidizi wa timu hiyo Charles Mkwassa kimeanza safari leo kwa basi kuelekea Shinyanga kuifuata Mwadui FC.Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utapigwa Juni 13, Uwanja wa Kambarage.Yanga Sc ipo nafasi ya tatu katika msimo…

  • Mwandishi Wetu
  • Juni 10, 2020
  • Yaliyojiri

Marekani yaitaka Tanzania kuwakamata wote waliomshambulia Freeman Mbowe

Marekani imetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuanzisha uchunguzi na hatimaye kukamatwa kwa wale wote waliohusika na shambulio la kiongozi wa upinzani nchini humo Freeman Mbowe. Mbowe alivamiwa na kushambuliwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake jijini Dodoma huku…

  • Mwandishi Wetu
  • Juni 10, 2020
  • Yaliyojiri

Rais Nkurunzinza wa Burundi Afariki kwa Mshtuko wa Moyo

Burundi imempoteza mtoto wake wa kiume mwenye kustahili heshima, rais wa Jamhuri, kiongozi wa juu wa uzalendo wa taifa,” msemaji wa serikali Prosper Ntahorwamiye katika taarifa. Nkurunziza, alieongoza taifa hilo dogo la Afrika Mashariki kwa mihula mitatu, alikuwa anapanga kustafu…

  • Mwandishi Wetu
  • Juni 10, 2020
  • Yaliyojiri

Kocha wa Azam FC alalamikia juu ya ratiba.

ARISTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa ratiba kwake imekuwa ngumu kwa kuwa ana mechi ngumu na za ushindani ikiwa ni pamoja na ile ya Simba, Julai Mosi. Juni 14, Ciaoba atakiongoza kikosi chake kumenyana na Mbao mchezo…

  • Mwandishi Wetu
  • Juni 10, 2020
  • Wazo

Video: Biashara 6 za mtaji mdogo kwa ajili ya wanavyuo

  • Mwandishi Wetu
  • Juni 8, 2020
Copyright © 2026 - WordPress Theme by CreativeThemes