Meli Yenye Usajili wa Zanzibar Yakamatiwa El Salvador Ikiwa na Tani 6.6 za Cocaine

Jeshi la majini la El Salvador limekamata meli iliyokuwa ikipeperusha bendera ya Tanzania, yenye usajili wa Zanzibar, baada ya kubainika kubeba tani 6.6 za dawa za kulevya aina ya cocaine katika operesheni ya baharini. Meli hiyo yenye urefu wa takribani…







